Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akizungumza jambo na Askofu John Chrisostom Ndimbo wa Jimbo Katoliki la Mbinga, walipokutana Uwanja wa Ndege wa Songea, mkoani Ruvuma, Jumatatu tarehe 7 Aprili 2025.
Balozi Dkt Nchimbi Akutana wa Askofu wa Jimbo la Mbinga
April 08, 2025
0
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akizungumza jambo na Askofu John Chrisostom Ndimbo wa Jimbo Katoliki la Mbinga, walipokutana Uwanja wa Ndege wa Songea, mkoani Ruvuma, Jumatatu tarehe 7 Aprili 2025.
Share to other apps