WAZIRI MKUU mh Kassim Majaliwa akifurahia jambo na Mtoto Jackline Eliadi wa Darasa la Tano kutoka Shule ya Msingi Maninga, Tarafa ya Turiani, Wilaya ya Mvomero Mkoani Morogoro baada ya kutoa elimu kuhusu nishati safi na Utunzaji wa Mazingira mkoani Njombe Machi 21, 2025 Wakati wa kilele cha maadhimisho ya Siku ya Misitu Duniani na Upandaji Miti Kitaifa yaliyofanyika Mkoani Njombe.
WAZIRI MKUU mh Kassim Majaliwa akifurahia jambo na Mtoto Jackline Eliadi wa Darasa la Tano kutoka Shule ya Msingi Maninga, Tarafa ya Turiani, Wilaya ya Mvomero Mkoani Morogoro baada ya kutoa elimu kuhusu nishati safi na Utunzaji wa Mazingira mkoani Njombe Machi 21, 2025 Wakati wa kilele cha maadhimisho ya Siku ya Misitu Duniani na Upandaji Miti Kitaifa yaliyofanyika Mkoani Njombe.



Comments
Post a Comment