Wasira Ahutubia Mamia ya Wananchi Wilayani Kahama

GEORGE MARATO TV
0


Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira akihutubia mkutano wa hadhara katika viwanja vya Stendi mjini Kahama akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025, uhai wa Chama na kusikiliza changamoto za wananchi mkoani Shinyanga.

#kazinaututunasongambele










Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top