Mbunge wa Ilala Ashiriki Katika Changizo la Kanisa La Wasabato Magomeni

GEORGE MARATO TV
0


 Mbunge wa Ilala Mussa Azzan Zungu ameshiriki kwenye Ibada ya changizo maalum la maendeleo ya Kanisa la Waadventista Wasabato Magomeni.

Mhe Zungu ambaye pia ni naibu Spika wa Bunge la jamhuri  ya Muungano Tanzania alitumia nafasi hii kuwapongeza  na kuwaomba waumini wa Kanisa la Wasabato waendelee kuliombea Taifa letu pamoja na Rais  Mhe.Dkt .  Samia Suluhu Hassan ili aendelee kuliongoza Vema Taifa letu.

Amewaomba pia kuombea uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika mwaka huu uweze kufanyika kwa amani.














Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top