Skip to main content

@marato_tv

@marato_tv
#sauti_ya_jamii

Waziri Mkuu Ameomba Viongozi Wa Dini na Watanzania Wasichoke Kuunga Mkono Serikali ya Awamu ya Sita


 “Ninatoa rai kwa viongozi wa dini na Watanzania wote msichoke kuiunga mkono serikali yenu, ili sote tuendelee kuishi pamoja kwa amani, upendo na mshikamano. Serikali inatambua wajibu mkubwa wa kiroho mlionao ambao unaleta matokeo chanya katika maisha yetu ya kila siku, endeleeni kujitoa kwa ajili ya Taifa letu, viongozi na wananchi wake, hatuna mashaka na imani yenu na mapenzi yenu kwa serikali-Waziri Mkuu Kassim Majaliwa









Comments