“Ninatoa rai kwa viongozi wa dini na Watanzania wote msichoke kuiunga mkono serikali yenu, ili sote tuendelee kuishi pamoja kwa amani, upendo na mshikamano. Serikali inatambua wajibu mkubwa wa kiroho mlionao ambao unaleta matokeo chanya katika maisha yetu ya kila siku, endeleeni kujitoa kwa ajili ya Taifa letu, viongozi na wananchi wake, hatuna mashaka na imani yenu na mapenzi yenu kwa serikali-Waziri Mkuu Kassim Majaliwa
Rais wa Jamhuri ya Kenya Mh William Rutto na mke wake wamewasili nchini China kuhudhuria mkutano wa wakuu wa nchi na Serikali wa Jukwaa la ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC). Katika ziara hiyo ameambatana na waziri mkuu mstaafu wa nchi hiyo Raila Odinga ambaye pia anapigiwa kampeni ili aweze kushinda nafasi ya Uenyekiti wa AU.







.jpg)
Comments
Post a Comment