Mawakili wa Serikali wajinoa kwa kesi za uchaguzi wa serikali za mitaa

GEORGE MARATO TV
0

 


Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi akifungua mafunzo kwa Mawakili wa Serikali kuhusu Sheria na Taratibu za Uendeshaji wa Mashauri ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa yaliyofanyika mkoani Morogoro.

Mkurugenzi wa Idara ya Madai, ndugu Mark Mulwambo akitoa salamu za Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali kwa niaba ya Naibu Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Alice Mtulo wakati wa ufunguzi wa mafunzo kwa Mawakili wa Serikali kuhusu Sheria na Taratubu za Uendeshaji wa Mashauri ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa yaliyofanyika mkoani Morogoro.


Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Tanzania, Mhe. Robert Makaramba akitoa mada kuhusu uelewa wa jumla wa sheria zinazosimamia uchaguzi wa Serikali za Mitaa Tanzania   wakati wa mafunzo kwa Mawakili wa Serikali kuhusu Sheria na Taratibu za Uendeshaji wa Mashauri ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa yaliyofanyika mkoani Morogoro.





Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top