Dkt. Biteko ashiriki Hafla ya Uwekaji Wakfu Kanisa SDA-Magomeni

GEORGE MARATO TV
0


Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa  Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameshiriki hafla ya uwekaji Wakfu Jengo la Kanisa la Waadventista  wa Sabato Magomeni inayofanyika leo Disemba 15, 2024 jijini Dar es Salaam.

Dkt. Biteko amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ambapo Kanisa hilo limewekwa Wakfu na Mchungaji Joel Okindo, Msaidizi wa Mwenyekiti wa Divisheni ya Afrika Mashariki na Kati (ECD).




Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top