Waziri Mkuu Kushiriki Siku ya Ukimwi Duniani Kitaifa Mkoani Ruvuma

GEORGE MARATO TV
0

 


 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Novemba 30, 2024 amewasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Songea ambapo kesho Disemba 01, 2024 atashiriki katika Maadhimisho ya Kilele cha Siku ya UKIMWI Duniani.

Mgeni Rasmi katika maadhimisho hayo atakuwa ni Makamu wa Rais Dkt. Philip Isdor Mpango.






Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top