Rais Dkt. Samia amewaongoza Wajumbe wa Tume ya Mipango kusimama kwa dakika moja kutoa heshima kufuatia kifo cha aliyekuwa Katibu Mtendaji wa Tume hiyo

GEORGE MARATO TV
0


 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwaongoza Wajumbe wa Tume ya Mipango kusimama kwa dakika moja kutoa heshima kufuatia kifo cha aliyekuwa Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango Ndugu Lawrence Mafuru aliyefariki nchini India Novemba 9, 2024 alipokuwa akipatiwa matibabu, kabla ya kuanza kikao leo tarehe 11 Novemba,2024 Ikulu jijini Dar es Salaam.






Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top