Mwili wa marehemu Meja Jenerali Charles Mbuge (Mstaafu) waagwa nyumbani kwake Tabata Segerea

GEORGE MARATO TV
0



Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Luteni Jenerali Salum Haji Othman, amewaongoza familia na waombolezaji kutoa heshima za mwisho kwa  mwili wa marehemu Meja Jenerali Charles Mbuge (Mstaafu) nyumbani kwake Tabata Segerea leo hii tarehe 15 Oktoba 2024.



Mwili wa marehemu, Meja Jenerali Charles Mbuge (mstaafu) unatarajiwa kuagwa kijeshi kesho tarehe 16 Oktoba 2024 katika Hospitali Kuu ya Jeshi Lugalo na baada ya taratibu za kuagwa kijeshi kukamilika, Mwili huo utasafirishwa kuelekea mkoani Mara kwa mazishi yatakayofanyika Oktoba 17, 2024











Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top