Mjumbe wa kamati tendaji Uwt Mkoa wa Mara aipatia ccm Musoma vitendea kazi

GEORGE MARATO TV
0



 Mjumbe wa Kamati tendaji ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT)mkoa wa Mara Sister Yohana Nyakuba amekipatia chama chamapinduzi(CCM)wilaya ya Musoma ream na box nne za kalamu. 

Sister Nyakuba amesema kuwa ametoa vifaa hivyo ili viweze kutumiwa kwenye utendaji kazi wa chama hicho. 

Vifaa hivyo vimepokelewa na Katibu wa CCM wilaya Musoma Burhan Ruta ambaye amesema chama hicho kinatoa shukurani za dhati kwa msaada huo ambao utasaidia katika maandalizi ya shughuli za uchaguzi wa Serikali za Mitaa. 

Ruta amesema kwamba chama hicho kinaendelea kuthamini mchango wa Mjumbe huyo wa kamati tendaji ya UWT Mkoa wa Mara. 

Mjumbe wa Kamati tendaji ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT)mkoa wa Mara Sister Yohana Nyakuba pia Katibu wa CCM kata ya Mwisenge (CCM) Ibambai ,Ream na kalamu kwa ajili ya kufanikisha utendaji wa kazi ikiwemo maandalizi ya shughuli za uchaguzi Serikali za Mitaa.





Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top