Sehemu ya wananchi, viongozi mbalimbali wa Jumuiya za Chama Cha Mapinduzi na Serikali waliohudhuria kwenye Kongamano la Kumpongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi kwa kutimiza miaka minne ya uongozi wake na utekelezaji wa ilani ya uchaguzi 2020-2025 katika viwanja vya Verde Mtoni, Mkoa wa Mjini Magharibi tarehe 22 Oktoba 2024.













