Skip to main content

@marato_tv

@marato_tv
#sauti_ya_jamii

Uwasilishaji wa bajeti ya Wizara ya Nishati 2025/2026 Bungeni Dodoma

 

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko akiwasilisha Hotuba ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Nishati na Taasisi zake kwa mwaka 2025/2026 bungeni jijini Dodoma. @biteko @wizara_ya_nishati_tanzania @onwm_tanzania @judith__kapinga @bunge.tanzania




Comments