Dkt.Mwigulu aongoza harambee ya kuchangia sherehe za Mei Mosi 2026

GEORGE MARATO TV
0







WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Aprili 13, 2026 ameongoza harambee ya kuchangia sherehe za Mei Mosi ambazo mwaka huu kitaifa zitafanyika mkoani Njombe.

Katika harambee hiyo kiasi cha shilingi bilioni 1.105 kilichangishwa

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top