Waziri Mkuu Ameshiriki Katika Ibada ya Kumuombea Baba wa Taifa Mwl Julius Kambarage Nyerere Mkoani Mbeya
Makamu wa Rais Dkt. Philip Isdor Mpango pia ameshiriki katika ibada hiyo.
Ibada hiyo imeongozwa na Akofu Mkuu wa Jimbo Katoliki la Mbeya Mhashamu Gervas Nyaisonga.





Comments
Post a Comment