Mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Emmanuel John Nchimbi tayari amewasili katika uwanja wa mji mpya,Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma leo Oktoba 16,2025 kuendelea na mikutano yake ya hadhara ya kampeni ya kusaka kura za ushindi wa kishindo wa CCM baada ya kuhitimisha kampeni zake jana mkoani Singida.
Rais wa Jamhuri ya Kenya Mh William Rutto na mke wake wamewasili nchini China kuhudhuria mkutano wa wakuu wa nchi na Serikali wa Jukwaa la ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC). Katika ziara hiyo ameambatana na waziri mkuu mstaafu wa nchi hiyo Raila Odinga ambaye pia anapigiwa kampeni ili aweze kushinda nafasi ya Uenyekiti wa AU.













Comments
Post a Comment