Dkt.Nchimbi Ndani ya Jimbo la Mpwapwa Muda Huu Mkoani Dodoma

GEORGE MARATO TV
0


Mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Emmanuel John Nchimbi tayari amewasili  katika uwanja wa mji mpya,Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma leo Oktoba 16,2025 kuendelea na mikutano yake ya hadhara ya kampeni ya kusaka kura za ushindi wa kishindo wa CCM baada ya kuhitimisha kampeni zake  jana mkoani Singida.














Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top