Ukomo wa Madiwani Wote Nchini June 20-2025-Mchengerwa

GEORGE MARATO TV
0


Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mheshimiwa Mohamed Mchengerwa ametanga kuwa Mabaraza yote ya Halmashauri yanapaswa kuvunjwa ifikapo Tarehe 20/06/2025.

Ukomo wa Kamati zote za Halmashauri zinazoundwa na Madiwani utakuwa ni Tarehe 20/06/2025.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri husika atakuwa ndiye Mwenyekiti wa mpito wa Halmashauri akisaidiwa na Wakuu wa Idara kama sehemu ya Kamati hadi hapo Uchaguzi utakapofanyika.

Kwa taarifa hii hakuna Diwani atakayeendelea na majukumu yake mara baada ya Tarehe 20/06/2026!

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top