Idara ya habari nchini kuhifadhi nyaraka za Taifa kidijitali

GEORGE MARATO TV
0




Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji Mkuu wa Serikali, Bw. Thobias Makoba, leo Oktoba 31, 2024 amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa, Bw. Firimin Msiangi ambapo wamekubaliana kushirikiana katika kuitangaza idara hiyo na kuwezesha uhifadhi wa nyaraka kidijitali.




 

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top