Waheshimiwa Wabunge Wateule leo tarehe 8 Novemba, 2025 wakijisajili katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma, kabla ya kuanza kwa Mkutano wa Kwanza wa Bunge la Kumi na Tatu unaotarajiwa kufanyika tarehe 11 Novemba, 2025.
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.


















