Dkt.Nchimbi Ahitimisha Mikutano Yake ya Kampeni,Ukerewe Jijini Mwanza

GEORGE MARATO TV
0


PICHA mbalimbali za Mgombea mwenza wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akiwahutubia Wananchi  katika uwanja wa Gertrude Mongella Wilaya ya Ukerewe Mkoa wa Mwanza leo  Oktoba 25, 2025. Mkutano ndiyo wa mwisho kwa Dkt Nchimbi kabla ya uchaguzi mkuu Oktoba 29,2025.






















Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top