Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo oktoba 26, 2024 anafunga mafunzo ya awali ya uchunguzi ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, hafla hiyo inafanyika kwenye Shule ya Polisi Tanzania, Moshi mkoani Kilimanjaro.
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.






