Waziri mkuu agawa fimbo nyeupe kwa watu wenye ulemavu wa kuona

GEORGE MARATO TV
0


 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akigawa fimbo nyeupe kwa watu wenye ulemavu wa kuona alipomwakilisha Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Fimbo Nyeupe na Miaka 60 ya Chama cha Wasioona Tanzania (TLB) ambayo kitaifa yamefanyika Mkoani Kilimanjaro jana Oktoba 25, 2024.





Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top