Kupitia mkutano huo, Kaimu Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Eng. Ramadhani Lwamo anaelezea mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Sita kwenye usimamizi wa Sekta ya Madini sambamba na kutoa ufafanuzi wa masuala ya Sekta ya Madini.
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.












