Tume ya Madini yakutana na wahariri wa vyombo vya habari

GEORGE MARATO TV
0

Picha mbalimbali za matukio wakati wa mkutano wa wahariri wa vyombo vya habari nchini na watendaji wa Tume ya Madini unaoendelea muda huu jijini Dar es Salaam








Kupitia mkutano huo, Kaimu Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Eng. Ramadhani Lwamo anaelezea mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Sita kwenye usimamizi wa Sekta ya Madini sambamba na kutoa ufafanuzi wa masuala ya Sekta ya Madini.








Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top