Skip to main content

Posts

Showing posts from July 25, 2026

@marato_tv

@marato_tv
#sauti_ya_jamii

JAMII ZINAZOZUNGUKA MAENEO YA MIGODI ZANUFAIKA NA MIRADI YA MAENDELEO*

▪️Waziri Mavunde azindua mabweni ya Wanafunzi na jengo la mionzi ▪️ Ni matokeo ya marekebisho ya Sheria ya Madini kupitia miradi ya CSR ▪️Asisitiza kuimarishwa mahusiano kati ya Migodi na Jamii ninazozunguka migodi ▪️Rais Samia apongezwa kwa maboresho ya sekta ya Afya ▪️RC Shigela aahidi kusimamia kikamilifu utekelezaji wa miradi Geita Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde, ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa bweni katika Shule ya Sekondari Nyamwilolelwa na Mtakuja, mradi unaotekelezwa kwa ufadhili wa Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Geita kupitia Mpango wa Uwajibikaji kwa Jamii (CSR), kwa gharama ya zaidi ya Shilingi milioni 291,mradi unaotarajiwa kuboresha mazingira ya kujifunzia na kuongeza fursa za elimu kwa wanafunzi wa kike. Akizungumza wakati wa hafla hiyo, Waziri Mavunde amesema utekelezaji wa miradi hiyo ni matokeo ya maboresho ya Sheria ya Madini yaliyoweka wajibu kwa wamiliki wa leseni za madini kurejesha sehemu ya fai...

JAMII ZINAZOZUNGUKA MAENEO YA MIGODI ZANUFAIKA NA MIRADI YA MAENDELEO*

▪️Waziri Mavunde azindua mabweni ya Wanafunzi na jengo la mionzi ▪️ Ni matokeo ya marekebisho ya Sheria ya Madini kupitia miradi ya CSR ▪️Asisitiza kuimarishwa mahusiano kati ya Migodi na Jamii ninazozunguka migodi ▪️Rais Samia apongezwa kwa maboresho ya sekta ya Afya ▪️RC Shigela aahidi kusimamia kikamilifu utekelezaji wa miradi Geita Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde, ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa bweni katika Shule ya Sekondari Nyamwilolelwa na Mtakuja, mradi unaotekelezwa kwa ufadhili wa Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Geita kupitia Mpango wa Uwajibikaji kwa Jamii (CSR), kwa gharama ya zaidi ya Shilingi milioni 291,mradi unaotarajiwa kuboresha mazingira ya kujifunzia na kuongeza fursa za elimu kwa wanafunzi wa kike. Akizungumza wakati wa hafla hiyo, Waziri Mavunde amesema utekelezaji wa miradi hiyo ni matokeo ya maboresho ya Sheria ya Madini yaliyoweka wajibu kwa wamiliki wa leseni za madini kurejesha sehemu ya fai...

MAKAMU WA RAIS DKT. NCHIMBI, AFANYA MAZUNGUMZO NA KATIBU MKUU WA JUMUIYA YA OACPS

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Afrika, Karibiani na Pasifiki (OACPS) Mhe. Moussa Saleh Batraki, mazungumzo yaliyofanyika Jijini Arusha. Katika Mazungumzo hayo, Makamu wa Rais amemuhakikishia Katibu Mkuu wa OACPS dhamira ya Tanzania kuendelea kutoa ushirikiano kwa Taasisi hiyo katika kuleta mageuzi na kuifanya kuwa na tija kwa nchi wanachama. Aidha amempongeza Katibu Mkuu wa Jumuiya ya OACPS kwa kutekeleza ajenda ya mageuzi ikiwa ni pamoja na kuongeza uadilifu na kupunguza utegemezi kwa lengo la kufanya Taasisi hiyo kuwa na nguvu zaidi. Kwa upande wake Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Afrika, Karibiani na Pasifiki (OACPS) Mhe. Moussa Saleh Batraki ameeleza kuhusu vipaumbele vya Taasisi hiyo ikiwemo suala la kuimarisha biashara, kuimarisha mtangamano miongoni mwa nchi wanachama, kujenga uhimilivu katika kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi. Pia ameeleza d...

AIR TANZANIA YAZINDUA SAFARI ZA MOJA KWA MOJA DAR ES SALAAM–MUSCAT, YAFUNGUA FURSA MPYA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI*

Muscat, Oman Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesema uzinduzi wa safari za moja kwa moja za Shirika la Ndege la Air Tanzania kati ya Dar es Salaam na Muscat ni hatua muhimu ya kuimarisha uhusiano wa kihistoria kati ya Tanzania na Sultanate ya Oman pamoja na kufungua fursa mpya za biashara, utalii, uwekezaji na usafirishaji. Akizungumza wakati wa uzinduzi rasmi wa safari hizo jijini Muscat, Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, amesema safari hizo zinajenga juu ya msingi wa uhusiano wa muda mrefu uliounganishwa na Bahari ya Hindi, ambapo kwa karne nyingi Watanzania na Waomani wamekuwa wakifanya biashara, kubadilishana maarifa, tamaduni na kujenga mahusiano ya kijamii na kifamilia. "Uzinduzi wa leo si kufungua njia mpya ya ndege pekee, bali ni mwanzo wa sura mpya ya ushirikiano wa kiuchumi na kijamii kati ya mataifa yetu mawili," alisema Prof. Mbarawa. Ameeleza kuwa kuanza kwa safari za Air Tanzania kutatoa chaguo zaidi kwa wasafiri, kuongeza uwezo wa usafirisha...

MAKAMU WA RAIS DKT. NCHIMBI, AFANYA MAZUNGUMZO NA KATIBU MKUU WA JUMUIYA YA OACPS

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Afrika, Karibiani na Pasifiki (OACPS) Mhe. Moussa Saleh Batraki, mazungumzo yaliyofanyika Jijini Arusha. Katika Mazungumzo hayo, Makamu wa Rais amemuhakikishia Katibu Mkuu wa OACPS dhamira ya Tanzania kuendelea kutoa ushirikiano kwa Taasisi hiyo katika kuleta mageuzi na kuifanya kuwa na tija kwa nchi wanachama. Aidha amempongeza Katibu Mkuu wa Jumuiya ya OACPS kwa kutekeleza ajenda ya mageuzi ikiwa ni pamoja na kuongeza uadilifu na kupunguza utegemezi kwa lengo la kufanya Taasisi hiyo kuwa na nguvu zaidi. Kwa upande wake Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Afrika, Karibiani na Pasifiki (OACPS) Mhe. Moussa Saleh Batraki ameeleza kuhusu vipaumbele vya Taasisi hiyo ikiwemo suala la kuimarisha biashara, kuimarisha mtangamano miongoni mwa nchi wanachama, kujenga uhimilivu katika kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi. Pia ameeleza d...