Skip to main content

Posts

Showing posts from October 9, 2025

@marato_tv

@marato_tv
#sauti_ya_jamii

Dkt.Samia ateta na familia ya Baba wa Taifa eneo la Mwitongo-Butiama

Mgombea nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan, na Wanafamilia ya Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius k. Nyerere alipozuru katika Kijiji cha Mwitongo Butiama Mkoani Mara tarehe 10 Octoba, 2025.

Dkt Samia Ateta na Familia ya Baba wa Taifa Eneo la Mwitongo-Butiama

 Mgombea nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Wanafamilia ya Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius k. Nyerere alipozuru katika Kijiji cha Mwitongo Butiama Mkoani Mara tarehe 10 Octoba, 2025.

Dk.Nchimbi Kutikisa Mkoa wa Pwani Akiendelea Kuomba Kura za Ccm

MGOMBEA Mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel John Nchimbi anatarajiwa kutikisa mkoani Pwani ambapo leo atafanya mkutano mkubwa wa hadhara. Mkutano huo utakuwa wa kuhitimisha mikutano yake ya hadhara ya kampeni za kutafuta kura za ushindi wa kishindo wa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.Samia Suluhu Hassan,Wabunge na Madiwani kwa mkoa wa Pwani. Dkt.Nchimbi ataanza kufanya mkutano mdogo wa kwanza utaokafanyika katika eneo la Mlandizi, kisha baadae kulifunga pazia mkoa huo  kwa mkutano mkubwa katika Wilaya ya Bagamoyo.

Dkt Samia Awapa Furaha Wananchi wa Mkoa wa Mara

  Mgombea kiti Cha Urais Tanzania Kwa tiketi ya CCM na mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Katika muendelezo wa ZIARA zake za KAMPENI Mkoa Kwa mkoa,wilaya Kwa wilaya akiwa njiani kuelekea Mkoa wa Mara,wilaya ya Musoma, amesimama kuwasalimu na kuzungumza na wananchi wa Lamadi na Bunda. Awashukuru sana kwa kujitokeza kwa wingi njiani, kwa upendo, dua, sala na baraka. Akihutubia mamia ya wananchi waliojitokeza kwenye kampeni alipokuwa musoma,amegusia afya, elimu, Miundombinu na kilimo,Afya, Mgombea kiti Cha Urais Kwa tiketi ya CCM,Ndg SAMIA SULUHU HASSAN amesema kuwa Serikali itaimarisha uagizaji wa vifaa tiba kikamilifu Katika hispitali zetu,pia upo utaratibu ambao utaratibu wa Ili Kila mwananchi atumie bima ya afya hii itarahisisha upatikanaji Wa tiba Kwa  mwananchi wetu. Dk.Samia ameendelea kusema kuwa kwenye elimu,Serikali imejitahidi sana kuzingatia elimu bila ada kuanzia darasa la kwanza Hadi kidato Cha Tano na sita,pia Serikali Bado inaendelea maeneo ya kuboresha kwenye elim...