Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye pia ni Mjumbe wa Shina namba 1 CCM Chamwino akishiriki kikao cha kawaida kilichoitishwa na Balozi wa Shina hilo Bi. Paulina Mkasanga, Chamwino mkoani Dodoma tarehe 8 Mei, 2026.
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye pia ni Mjumbe wa Shina namba 1 CCM Chamwino akishiriki kikao cha kawaida kilichoitishwa na Balozi wa Shina hilo Bi. Paulina Mkasanga, Chamwino mkoani Dodoma tarehe 8 Mei, 2026.






Comments
Post a Comment