Dkt. Mwigulu Kufanya Ziara Karatu na Monduli

GEORGE MARATO TV
0


Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba amewasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) ambapo anatarajiwa kufanya ziara ya siku moja mkoani Arusha katika Wilaya za Karatu na Monduli.

Mheshimiwa Dkt. Mwigulu anategemea kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa  skimu za umwagiliaji katika Bonde la Eyasi, lililopo Wilaya ya Karatu, Mkoa wa Arusha.

Pia, Mheshimwa Dkt. Mwigulu atafanya mikutano ya hadhara Karatu mjini pamoja na Mto wa Mbu Wilayani Monduli






Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top