Mgombea wa nafasi ya Urais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Mheshimiwa Othman Masoud Othman, leo Septemba 13, 2025, azindua rasmi kampeni za ACT-Wazalendo Zanzibar katika viwanja vya Tibirinzi Kisiwani Pemba.
Othman wa Act Azindua Kampeni za Urais Zanzibar
September 13, 2025
0
Mgombea wa nafasi ya Urais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Mheshimiwa Othman Masoud Othman, leo Septemba 13, 2025, azindua rasmi kampeni za ACT-Wazalendo Zanzibar katika viwanja vya Tibirinzi Kisiwani Pemba.
Share to other apps







