Salum Kinyoro Ateuliwa Kura za Maoni Ccm Ubunge Jimbo la Handeni Mjini

GEORGE MARATO TV
0


 Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimempitisha mfanyabiasha maarufu Salum Kinyoro 'Kibakuli' kupigiwa kura za maoni za ubunge wa Jimbo la Handeni mjini.

Salum atachuana na wagombea wengine watano.

Katibu wa Itikadi na Uenezi, Amos Makala ametangaza majina hayo leo Julai 29, 2025.






Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top