Waziri Kassim Majaliwa akizungumza na mkuu wa wilaya Temeke Sixtus Mapunda

GEORGE MARATO TV
0

 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mkuu wa Wilaya ya Temeke Sixtus Mapunda, wakati alipowasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Octoba 01, 2024. Waziri Mkuu alitokea New York nchini Marekani, ambapo alimwakilisha Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa 79 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA79).





Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top