Ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Msalato uliopo jijini Dodoma umefikia hatua ya asilimia 72 katika ujenzi wa barabara ya kuruka na kutua ndege, wakati jengo la abiria likiwa limekamilika kwa asilimia 39.
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.