Mkutano wa Hadhara Wa Mgombea Ubunge Kwa Tiketi ya Ccm Jimbo la Mtumba Ndg.Anthony Mavunde

GEORGE MARATO TV
0


Dondoo za Hotuba ya Ndg. Anthony Mavunde akihutubia maelfu ya Wananchi wa Kata ya Ngh’ongh’ona tarehe 26.09.2025

▪️Pongezi kwa Dkt. Samia S. Hassan kwa mageuzi makubwa ya sekta ya Afya,Elimu,Maji,Barabara na Nishati.

▪️Ujenzi wa Kituo cha Afya Ngh’ongh’ona.

▪️Ukamilishwaji na kusajiliwa Shule ya Sekondari Mapinduzi.

▪️Upimaji na Umilikishwaji wa Ardhi kwa wananchi wa Ngh’ongh’ona.

▪️Uchimbwaji Kisima na kuongeza kina cha bwawa la Umwagiliaji.

▪️Ujenzi wa Soko na Stendi ya Mabasi.

▪️Ukamilishwaji usambazaji nishati ya umeme maeneo yaliyobaki.

▪️Ununuzi wa Mtambo(Motor Grader) kwa ajili ya Jimbo la Mtumba ili kusafisha na kufungua barabara.

▪️Uanzishwaji wa viwanda vidogo kupitia 10% ya mikopo ya wakinamama,Vijana na watu wenye ulemavu.

▪️Uanzishwaji wa Klabu za wazee za Kata.

▪️Uchimbaji visima vya Maji safi eneo la Mhande na Kwa Mjeni.

▪️Ukamilishwaji wa Zahanati ya Mapinduzi B.

▪️Utatuzi wa mgogoro wa Ardhi Itumbi na Mapinduzi B.

▪️Ulipwaji wa Fidia wananchi waliopisha ujenzi wa Barabara ya Ntyuka-Mvumi-Kikombo.

▪️Uanzishwaji wa MAVUNDE CUP kata ya Ngh’ongh’ona.

▪️Ununuzi wa mtambo mkubwa wa kudurufu mitihani(𝙋𝙝𝙤𝙩𝙤𝙘𝙤𝙥𝙞𝙚𝙧 𝙈𝙖𝙘𝙝𝙞𝙣𝙚𝙨) kwa kila kata.

▪️Ujenzi wa vivuko vya watembea kwa miguu na magari.

▪️Ukarabati mkubwa wa Barabara ya Ngh’ongh’ona-Mapinduzi-Chololo.









Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top