Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Aprili 17, 2026 amekagua maendeleo ya ujenzi wa uwanja wa mpira wa miguu uliopo mkoani Arusha ambao utatumika kwa ajili ya michuano ya AFCON 2027 itakayofanyika katika nchi za Tanzania, Kenya na Uganda.
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

.jpg)





