Cosmas Bulala Amefanya Kikao Kazi na CMT-Kwimba

GEORGE MARATO TV
0


*Kwimba -Mwanza*

*Mbunge wa Jimbo la Kwimba na Mwanadiplomasia Mhe COSMAS BULALA ( MWANZA FINEST ) amefanya kikao kazi na wakuu wa idara  ( CMT ) wa halmashauri ya Kwimba na kuonyesha dira yake ya miaka mitano ( 2025-2030 ) ya ubunge wake.*

*Mhe BULALA kawapongeza wataalamu wote Kwa KUENDELEA kuchapa kazi za kuwahudumia Wana Kwimba muda wote*

*Wataalamu wote wamemshukuru Kwa kuzungumza nao na kumuahidi kushirikiana nae Mhe COSMAS BULALA ( MWANZA FINEST)*

*Kwimba ni yetu sote tutaijenga Kwa pamoja🤝🤝🤝🤝*

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top