Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mussa Azzan Zungu akiongoza waombolezaji kupokea mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho, Mhe. Jenista Mhagama wakati ulipowasili katika uwanja wa ndege wa Songea Mkoani Ruvuma leo tarehe 14 Desemba, 2025.
Mwili wa Jenista Mhagama Wapokelewa na Spika wa Bunge Mjini Songea
December 14, 2025
0
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mussa Azzan Zungu akiongoza waombolezaji kupokea mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho, Mhe. Jenista Mhagama wakati ulipowasili katika uwanja wa ndege wa Songea Mkoani Ruvuma leo tarehe 14 Desemba, 2025.
Share to other apps






