Mbunge Serengeti aanza ziara kwa kishindo

GEORGE MARATO TV
0


Mugumu,


04’ Dec 2025

Mbunge wa jimbo Serengeti Mh Mary Daniel (MB) ameanza ziara yake katika jimbo hilo kwa kufika katika Hospital ya Isabayaya iliyoko Mugumu Serengeti kumjulia hali Katibu wa CCM kata ya Kisaka anae endelea kupatiwa  Matibabu katika hospitali hiyo.


Katibu huyo Bw Peter ambaye anaendelea kupata matibabua katika hospital hiyo amemshukuru  huyo na msafara wake kuona thamani ya afya yake na kwenda kumjulia hali.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top