Waziri Mkuu akagua uharibifu wa Mahakama ya Mwanzo maji ya chai

GEORGE MARATO TV
0

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Novemba 30, 2025, amekagua Mahakama ya Mwanzo iliyopo Maji ya Chai ambayo iliharibiwa na vurugu zilizotokea Oktoba 29, 2025, mkoani Arusha.



Mheshimiwa Dkt. Mwigulu yupo Arusha kwa ziara ya kukagua mkoa uliojitokeza mjadala wa Oktoba 29, 2025.

Katika ziara hiyo, Mheshimiwa Dkt. Mwigulu ameambatana na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Amosi Makalla.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top