Mgombea Ubunge Wa Act Jimbo La Kawe Aongoza Kikosi Kazi Kuzisaka Kura Majumbani

GEORGE MARATO TV
0


 Matukio katika Picha. 

Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kawe Bi *Glory Tausi Shayo,* akiongozana na wagombea Udiwani wa Kata ya Kunduchi, Kata ya Kawe, Kata ya Bunju na, Kata ya Mbezi Juu. Wameendelea na Kampeni za Nyumba kwa Nyumba katika kata ya Kunduchi. 

Walifanikiwa kutembelea wafanyabiashara wa Tegeta kwa Ndevu na Kuendelea na Kampeni za Nyumba kwa nyumba, katika mtaa wa Tegeta, Kata ya Kunduchi, Jimbo la Kawe.

Team hii ilipata fursa ya kusikia changamoto nyingi, zinazowakabili wafanyabiashara na wananchi wa eneo hili na wameahidi kuzitafutia ufumbuzi wa kudumu.






















Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top