Mgombea nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi na wanachama wa CCM wa Uvinza katika muendelezo wa kampeni za Uchaguzi Mkuu kwa Chama hicho Mkoani Kigoma tarehe 13 Septemba 2025.
Maelfu ya Wananchi wa Uvinza Wajitokeza Kwenye Mkutano wa Mgombea Urais wa Ccm
September 13, 2025
0
Mgombea nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi na wanachama wa CCM wa Uvinza katika muendelezo wa kampeni za Uchaguzi Mkuu kwa Chama hicho Mkoani Kigoma tarehe 13 Septemba 2025.
Share to other apps







