Glory wa ACT Wazalendo wa Jimbo la Kawe awagusa watoto yatima Tegeta Kibo

GEORGE MARATO TV
0

Katika kufanya Kampeni za nyumba kwa nyumba, Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kawe kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Glory Tausi Shayo alipata neema ya kualikwa kama Mgeni rasmi katika Maulid iliyofanyika katika Kituo cha Watoto yatima cha Almarkaz kilichopo Tegeta Kibo 



Maulid hiyo imefanyika leo Jumamosi ya tarehe 27/09/2025, ikihudhuriwa na wakazi wa maeneo mbalimbali, hasa wa jirani na kituo hicho. 






Bi. Tausi alipata wasaa wa kuwasilisha misaada mbalimbali kwa ajili ya watoto wa kituo hicho, aliyochangiwa na wasamaria wema






Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top