Vijana Mnaotaka Kuoa Mc Pilipili atoa Ushauri Kwa Vijana

GEORGE MARATO TV
0


-Mc Pilipili: Usioe Mwanamke Mwenye Tamaa

Mchekeshaji / Mchungaji maarufu  hapa Tanzania  na Afrika Mashariki nzima Mc pilipili amefunguka ukweli mzima kuwa yeye na Mama wa mtoto wake hawapo sawa kabisa na kuwapa ushauri vijana wanaotaka kuingia kwenye ndoa.

"Nazani nilioa mwanamke asiyekuwa na upendo wa kweli na aliyejaa Tamaa sana za maisha mazuri  ndoa maana amekuwa akinisumbua sana. Ushauri  ni jambo la bure vijana wenzangu tutafute wanawake wasiokuwa na Tamaa"- Amezungumza Mc Pilipili.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top