*MWAMBA HUYU HAPA*
“Nimewaondolea Ulinzi wa Kiserikali kwasababu walifanya kazi serikalini na naamini walitengeneza fedha za kutosha sana hivyo wanaweza kuajiri Walinzi wao binafsi, kufanya kazi serikalini haina maana ubaki na Walinzi maisha yako yote”
-Rais Donald Trump baada ya kuwaondolea Walinzi Viongozi mbalimbali wastaafu wa serikali ya Marekani.

