Kassim ashinda Pambano la Knockout ya Mama

GEORGE MARATO TV
0


 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimvisha Salmin Kassim Mkanda wa ubingwa wa WBF baada ya kushinda pambano dhidi ya mfilipino, Adrian Lerasan kwenye tukio maalum la pambano la ngumi la ‘Knockout ya Mama’.

Pambana hilo ls kuvutia ambalo lilifuatiliwa pia na Rais Samia Suluhu Hassan limenyika katika ukumbi wa Super Dome, Masaki jijini Dar es Salaam, Desemba 26, 2024.




Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top