Huu Ni Upendo Mkubwa Wa Mbunge Wa Ilala Mh Zungu

GEORGE MARATO TV
0


 Zungu amefika kutoa salamu za pole kwa Mjumbe wa Serikali ya Mtaa wa Kariakoo Kaskazini Ndg. Mwinyi Ludete nyumbani kwao Mtoni Kijichi, aliepatwa na msiba wa kuondokewa na Dada yake.  

Zungu anatoa pole kwa ndugu jamaa na marafiki wote walioguswa na msiba huu.

Innalilah wa Innalilah Rajoun





Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top