Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ashiriki katika zoezi la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

GEORGE MARATO TV
0

 

Rais Dkt.Samia, amepiga kura katika Kituo cha Kitongoji cha Sokoine, Kijiji cha Chamwino Dodoma, akiungana na mamilioni ya Watanzania kwenye maeneo mbalimbali ya nchi kutumia haki yake ya Kikatiba siku ya leo Novemba 27, 2024 kupiga kura ya kuchagua viongozi wa Serikali za Mitaa.






Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top