SERIKALI KUJENGA SKIMU YA UMWAGILIAJI WILAYANI IRAMBA
September 07, 2024
0
Tume ya Taifa ya Umwagiliaji(NIRC) imewaelekeza wataalam wake kufanya upembuzi yakinifu kwa ajili ya kupata mahali pa kujenga skimu ya Umwagiliaji katika bonde la Ulemo-Nzinziligi-Mbelekese lililopo wilayani Iramba Mkoani Singida.
Share to other apps