Wananchi wa Mkoa wa Mara Washiriki Jogging ya Kuhamasisha Uchaguzi

GEORGE MARATO TV
0


 Wananchi wa Mkoa wa Mara kwa kushirikiana na Kikundi cha Jogging Musoma leo tarehe 25 Oktoba, 2025 wameshiriki mbio za pole na kufanya mazoezi ya viungo kwa lengo la kuhamasisha wananchi kushiriki mazoezi, kupima afya na kushiriki uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.
















Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top