Rais Samia achangisha mabilioni ya fedha kwa ajili ya kampeni za CCM

GEORGE MARATO TV
0


Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan akiongoza viongozi, wanachama, wapenzi, wakereketwa wa CCM na Watanzania wapenda maendeleo katika harambee ya kuchangisha fedha, iliyolenga kukusanya kiasi cha shilingi Bilioni 100 kwa ajili ya kampeni za CCM za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025,hafla hiyo inaendelea katika Ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar Es Salaam.























Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top