Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Ndugu Hemed Suleiman Abdulla ameungana na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dkt. Hussein Ali Mwinyi, viongozi mbali mbali na wanachama wa CCM wakati akichukua fomu ya kugombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi katika Ofisi ya Tume ya Uchaguzi Zanzibar iliyopo Maissara.
Dkt Hussein Ali Mwinyi Achukua Fomu Ya Urais Zanzibar
August 30, 2025
0
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Ndugu Hemed Suleiman Abdulla ameungana na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dkt. Hussein Ali Mwinyi, viongozi mbali mbali na wanachama wa CCM wakati akichukua fomu ya kugombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi katika Ofisi ya Tume ya Uchaguzi Zanzibar iliyopo Maissara.
Share to other apps











