Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule, akiwapa pole baadhi ya waombolezaji kwenye msiba wa Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job Yustino Ndugai, alipofika nyumbani kwa marehemu, Mtaa wa Njedengwa, jijini Dodoma, kwa ajili ya kusaini kitabu na kutoa pole, leo Ijumaa tarehe 9 Agosti 2025.
Balozi Dkt Nchimbi Afika Nyumbani Kwa Ndugai
August 09, 2025
0
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule, akiwapa pole baadhi ya waombolezaji kwenye msiba wa Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job Yustino Ndugai, alipofika nyumbani kwa marehemu, Mtaa wa Njedengwa, jijini Dodoma, kwa ajili ya kusaini kitabu na kutoa pole, leo Ijumaa tarehe 9 Agosti 2025.
Share to other apps